Pages

 

Monday, August 11, 2014

HASIRA ZAMFANYA VAN GAAL KURUDI UHOLANZI

0 comments
Baada ya Kocha wa Manchester United Louis Van Gaal  kuchukizwa na kitendo cha kukosa windo lake alilokuwa amelitolea macho muda mrefu,anajiandaa kufunga safari kuelekea Uholanzi kutafuta njia mpya ya kujifariji kwa kuvamia Klabu ya Ajax nchini humo Manchester United wanajiandaa kutoa ofa ya kitita cha pauni 15 milioni kumnasa beki Daley Blind,baada ya kutoka kapa kwenye mbio za kumuwania Thomas Vermaelen,gazeti la Mirror nchini Uingereza limeripoti...
Read more...

Friday, August 2, 2013

NANDO ALITAKA KUJIUA

0 comments
  Siku  chache zilizopita mwakilishi wa Tanzania kwenye shindano la Big Brother Africa 8 (The Chase) Nando alitimuliwa kutoka kwenye jumba linalowahifadhi washiriki wa shindano hilo kwakile kilichoonekana kutishia usalama wa mshiriki mwenzake Elikem,mwakilishi wa Ghana. Habari mpya hivi sasa ni juu ya `tweet` ya mshiriki huyo juu ya jaribio lake la kutaka kujiua mwaka 2011 Hii inaonesha kuwa Nando amepitia kwenye utoto wenye misukosuko...
Read more...

HIVI NDIVYO AKINA MASOGANGE WALIVYOPITA UWANJA WA NDEGE DAR

0 comments
CHANZO CHA HABARI:GAZETI LA MTANZANIA TUKIO la wasichana wawili wa Tanzania waliokamatwa na dawa za kulevya Afrika Kusini, limechukua sura mpya baada ya kujulikana kwamba, siku ambayo watuhumiwa hao walisafiri kupitia Uwanja wa Ndege wa Julius Nyerere Dar es Salaam, mbwa wanaohakiki usalama wa mizigo hawakuwapo.    Chanzo chetu cha habari kiliiambia MTAZANIA, kwamba pamoja na uwepo wa kitengo cha kudhibiti dawa za kulevya...
Read more...

Sunday, July 28, 2013

CHELSEA INAMTAKA MTOTO WA DAVIS MOSHA

0 comments
Edgar Davis Mosha mtoto wa mfanyabiashara tajiri na maarufu boss wa kampuni ya DELINA, Bwana Davis Mosha amehojiwa na VOA (Voice of America). Edgar na baba yake wametua kwa kishindo nchini Marekani wakitokea Uingereza ambapo Edgar amepeperusha vyema bendera ya Tanzania kwa kuitwa  kufanya majaribio na klabu ya Chelsea ya Uingereza..    ...
Read more...

WATANZANIA WALIOKAMATWA NA MADAWA HONG KONG WATUMA WARAKA MZITO..WATAJA WAHUSIKA WAKUU..WAMO VIGOGO NA WAFANYABIASHARA MAARUFU

0 comments
WATANZANIA walio gerezani nchini Hong Kong kwa makosa ya kukutwa wakisafirisha madawa hatari ya kulevya,wametuma waraka mzito kwa wananchi wenzao kuelezea  mambo mengi ambayo wananchi wa kawaida hawayajui kuhusu biashara hiyo inayopigwa vita duniani kote,na pia wamewataja wahusika ambao ndio wamiliki wakuu wa biashara hiyo waraka wenyewe ni huu hapa chini..usome kwa makini: ...
Read more...

Friday, July 26, 2013

VYAMA VYA USHIRIKA NI MAGENGE YA WEZI-KIKWETE

0 comments
Rais Kikwete Bukoba. Rais Jakaya Kikwete, amesema baadhi ya vyama vya ushirika nchini vina mkusanyiko wa wezi wanaokula fedha za wananchi bila hata kunawa. Kikwete aliyasema hayo juzi jioni alipokuwa akizungumza na wananchi baada ya kufungua jengo la kitega uchumi la Chama cha Ushirika cha Mkoa wa Kagera (KCU), mjini Bukoba. “Acheni kuwa wachuuzi tu wa kununua na kuuza...
Read more...

HUU NI WARAKA MZITO KWA WATANZANIA KUTOKA KWA KALA JEREMIAH KUHUSU LOWASSA

0 comments
Msanii wa Hip hop Kala Jeremiah TANGAZO KWA UMMA MIMI KALA JEREMIAH NILIKUWA MSANII WA KWANZA TANZANIA KUMSEMA MHESHIMIWA EDWARD LOWASA KUPITIA WIMBO WANGU UITWAO WIMBO WA TAIFA BAADA YA MHESHIMIWA KUKUMBWA NA KASHFA YA UFISADI WA RICHMOND.KWA KIPINDI KILE KILA MMOJA WETU ALIHAMAKI SANA NA KUONA KWELI MZEE WA WATU NI FISADI.KWENYE WIMBO HUO KUNA MISTARI NILISEMA. mi siyo mwana siasa sisubiri tume ichunguze nistaafu ka Lowasa. KWA ...
Read more...

Monday, July 22, 2013

ORPHANED GIRL BURNT WITH HOT WATER BY HER KEEPER IN AN ARGUMENT OVER DISAPPEARED PART OF FOOD

0 comments
Dora after after reciving medical treatment A twelve years old girl,student of Wazo Hill Primary School in Dar Es Salaam,has claimed that she was burnt with hot water by her niece, Saum Masudi. The little girl whose name is Dora said she faced that kind of atrocity few days ago in the Wazo area where she lives with Saum, her niece, and keeper after the death of her father. In her account of the tragedy Dora said that in the morning of...
Read more...

HUU NI UKATILI MKUBWA..YATIMA AMWAGIWA MAJI YA MOTO,KISA KIPORO CHA UGALI!

0 comments
Mtoto Dora baada ya kupata msaada kutoka kwa msamaria mwema Mtoto Dora Juma,12, mwanafunzi wa Shule ya Msingi Wazo Hill, Wilaya ya Kinondoni jijini Dar es Salaam imedaiwa ameunguzwa kwa maji ya moto na binamu yake aliyetajwa kwa jina la Saum Masud. Dora ambaye ni yatima alikutwa na dhahama hiyo hivi karibuni eneo la Wazo Dar alikokuwa akiishi na binamu yake huyo kama mlezi wake baada ya kufiwa na baba yake. Akisimulia tukio hilo Dora alidai...
Read more...
 
Said Nuhu © 2012 SAID NUHU BLOGS. BLOG IMETENGENEZWA NA BongoClan blog designer nipigie 0658184797