Pages

 

Thursday, May 31, 2012

OKWI ANA THAMANI YA SHILINGI BILIONI 2-SIMBA

0 comments
 Klabu ya Simba imewataka baadhi ya timu kuacha tabia ya kutaka kutangaza kuwa wanamchukua mchezaji Emmanuel Okwi wakati wakijua ni mchezaji halali wa klabu hiyo.  Ofisa habari wa Simba Ezekiel Kamwaga, alisema kuwa kuna baadhi ya watu wameanza kutumia jina la Okwi kama njia ya kupata uongozi au kuonekana bora katika klabu zao huku zikiwa hazijawahi hata siku moja kufanya maongezi na klabu ya Simba.  Alisema kama...
Read more...

Wednesday, May 30, 2012

MTOTO ALIYEHARIBIWA MUHIMBILI BADO HOI INDIA

0 comments
 MTOTO Imrani Mwerangi (3) ambaye alipelekwa nchini India kwa matibabu baada ya kudungwa sindano iliyomsababishia mtindio wa ubongo katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH) Dar es Salaam, bado amelazwa katika Kitengo cha Wagonjwa Mahututi (ICU) cha Hospitali ya Hyderabad, India. Taarifa iliyotolewa jana na wazazi wa mtoto huyo kutoka nchini India, ilisema hali ya Imrani bado ni mbaya. Machi mwaka huu Imrani alipelekwa nchini India...
Read more...

Friday, May 25, 2012

SIR ALEX FERGUSON KUSTAAFU MWISHONI MWA MSIMU UJAO

0 comments
Kocha wa timu ya soka ya Manchester United, Sir Alex Ferguson  huenda akaachana na kazi yake ya ukocha mara tu baada ya kuisha kwa msimu wa 2012/2013,kutokana na kuanza kusumbuliwa na matatizo ya kiafya. Kwa mujibu wa rafiki yake wa karibu ambae pia ni mmiliki wa timu ya Wigan Athletic,Dave Whelan,Ferguson anafikria kuachana na ukocha baada ya kupata matatizo ya kiafya Ijumaa iliyopita,amabapo alipatwa ghafla na ugonjwa wa kutoka damu puani...
Read more...

Wednesday, May 23, 2012

TEH TEH TEH...SOMA STORI,ONA PICHA UCHEKE KAMA MWEHU

0 comments
ETI  EEEENH?...
Read more...

MLINZI ALIEKUWA ANATETEA MCHORO WA ZUMA USIHARIBIWE AKAMATWA NA KUFUNGULIWA MASHTAKA

0 comments
Picha za televisheni zikionedsha Lowie Mabozela akishambuliwa Mlinzi aliekuwa akitetea mchoro wa Rais wa Afrika Kusini,Jacob Zuma usiharibiwe  kwenye jumba la maonesho ya picha jijini Johannesburg amekamatwa na kuwekwa mahabusu Kanali Vishnu Naidoo msemaji wa polisi alieleza: "Amekamatwa muda mfupi uliopita " Picha za televisheni zilimuonesha mlinzi huyo akimpiga kichwa na kumbinua sakafuni mtuhumiwa Lowie Mabokela kijana mdogo aliekuwa...
Read more...

Tuesday, May 22, 2012

PICHA YA JACOB ZUMA AKIWA UCHI YACHORWA NA KUWEKWA KWENYE MAENESHO,YAZUA UTATA MKUBWA

0 comments
Picha hii inaonesha sehemu ya juu ya mchoro uliopewa jina la `The Spear `ukifananisha taswira ya rais wa Afrika Kusini Jacob Zuma Mchoro wa picha inayomkejeli rais wa Afrika Kusini Jacob Zuma ukionesha mfano wa sehemu za siri za rais huyo wa taifa lenye nguvu barani Afrika, umewekwa hadharani kwenye jumba la maonesho ya picha la Goodman huko Johannesburg,Afrika Kusini na kuanzisha mjadala mkali. Mchoro huo uliopewa jina la `The Spear`ulichorwa...
Read more...

SIRI YA AJALI YA MAFISANGO HII HAPA

0 comments
Gari Toyota Cresta lenye namba T 387 BMZ, likiwa limepondeka baada ya ajali iliyosababisha kifo cha mchezaji soka nyota wa Kimataifa wa Timu ya Taifa ya Rwanda na Simba SC ya Tanzania, marehemu Patrick Mafisango, iliyotokea eneo la VETA, Barabara ya Chang'ombe. Olly Elenga, ni mtoto wa dada yake Mafisango. Yeye alishuhudia ajali hiyo jijini Dar es Salaam na ndie aliyeikimbiza maiti ya mchezaji huyo Hospitali ya Muhimbili jijini Dar es Salaam...
Read more...

`BOBAN` AANGUKA NA KUPOTEZA FAHAMU `AIRPORT`

0 comments
BOBAN akilia kwa uchungu siku aliyokufa Mafisango KIUNGO wa Simba, Haruna Moshi Boban, ameanguka katika Uwanja wa Ndege wa N`Djili mjini Kinshasa kutokana na mapigo ya moyo kushuka ghafla. Tukio hilo lilitokea jana Jumatatu wakati Boban akiwa anajiandaa kurudi Dar es Salaam baada ya kuhudhuria mazishi ya Patrick Mafisango aliyefariki Alhamisi iliyopita kwa ajali ya gari iliyotokea jijini Dar es Salaam. Hali ya Boban ilibadilika ghafla akiwa...
Read more...

UJAUZITO WA LULU `WACHOROPOKA`

0 comments
  Ujauzito wa mwigizaji nyota wa sinema Bongo ambaye yuko  Gereza la Segerea, Dar es Salaam kwa tuhuma ya kuhusika na kifo cha Steven Kanumba, Elizabeth Michael 'Lulu' umedaiwa kutoka. Kwa mujibu wa taarifa za wachunguzi kupitia chanzo cha habari hizi sababu kubwa ya mimba hiyo kutoka ni kutunga nje ya mfuko wa uzazi hali ambayo ingemletea matatizo Lulu.Chanzo kilisema bila kuainisha tukio hilo lilitokea lini: “Nikwambie kitu, unajua...
Read more...

Monday, May 21, 2012

IKWIRIRI YAGEUKA UWANJA WA VITA,MMOJA AFARIKI DUNIA

0 comments
  HALI  siyo shwari Ikwiriri wilayani Rufiji, baada ya watu wasiojulikana kuvamia nyumba ya Mkuu wa Polisi Wilaya (OCD), kuivunja na kuharibu mali huku wengine wakichoma moto magari na nyumba za wananchi Taarifa zinasema kuwa, vurugu hizo ziliibuka usiku wa kuamkia juzi kutokana na mapigano kati ya wakulima na wafugaji eneo hilo. . Vurugu hizo zilizosababisha kuigeuza Ikwiriri uwanja mdogo wa vita zimetokana na wananchi wenye...
Read more...

Sunday, May 20, 2012

`DOGO` BOSI WA FACEBOOK,MARK ZUCKERBERG, AFUNGA NDOA KWA STAILI SIKU YA JUMAMOSI

0 comments
Mwanzilishi wa mtandao wa kijamii wa Facebook, Mark Zuckerberg, amefunga ndoa siku ya Jumamosi na rafiki yake wa kike  wa siku nyingi msichana mwenye asili ya China, Priscilla Chan. Zuckerberg kijana bilionea mwenye umri wa miaka 28 alitangaza rasmi tukio hilo kwa washabiki wake wa Facebook kupitia Timeline yake Wawili hao walianza mahusiano wakiwa Chuo Kikuu cha Harvard na wamekuwan imara kwa takriban miaka 9 sasa.Walilishana kiapo katika...
Read more...

WASTARA AZUNGUMZIA HALI YA MUMEWE NAYE PIA AKIWA AMELAZWA

0 comments
Mke wa Sajuki (Wastara) ambae yuko India kwa sasa akiwa anamuuguza mumewe (Sajuki) amezungumza kwa mara ya kwanza na mtandao wa millardayo.com kuhusu hali ya sasa ya Sajuki. Amesema “kwa kweli hali imebadilika na ninategemea kuona hali nzuri zaidi leo (jana) ni siku ya tano toka tumekuja huku India, Sajuki amebadilika sana kwa sababu siku tulipoondoka Tanzania hali yake ilikua mbaya hata rangi alibadilika lakini kwa sasa amerudi kwenye hali ya...
Read more...

Thursday, May 17, 2012

MAREKANI YARUHUSU DAWA MPYA YA KUZUIA UKIMWI IANZE KUTUMIKA

0 comments
MAMLAKA ya Chakula na Dawa ya Marekani (FDA), imeidhinisha dawa ya Truvada kuwa tiba ya kuzuia kuenea kwa Virusi Vya Ukimwi (VVU).Dawa hiyo ambayo awali ilikuwa katika kundi la zile zinazotumiwa kwa ajili ya Kupunguza Makali ya VVU (ARV), imepandishwa chati wakati ambapo tayari ipo sokoni ikiuzwa kama moja ya ARV za kawaida. Kwa mujibu wa maelezo ya FDA, mwathirika anayetumia dawa hiyo anaweza kujamiiana na mwenza wake ambaye hana VVU bila kutumia...
Read more...

BOY FINDS HUMAN FINGER IN HIS SANDWICH!

0 comments
Ryan Hart, a 14-year-old boy from Jackson, Michigan, had a rude surprise when he bit into his Arby's roast beef sandwich. "I was like, 'that's got to be a finger,'" he told reporters. "It was just nasty." Reportedly, a restaurant employee cut off her finger with a meat slicer while preparing the meal. She left her station to deal with the emergency, and other employees, who were unaware of the injury, continued to complete the order. "Somebody ...
Read more...

LULU ANAUMWA

0 comments
Elizabeth ` LULU` Michael Habari  zinaeleza kuwa staa wa filamu za Kibongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’ amekwaa gonjwa baya akiwa mahabusu katika Gereza la Segerea jijini Dar es Salaam. Akizungumza  baada ya kuonekana kwenye duka moja  linalouza madawa ya binadamu,  Kinondoni, hivi karibuni, rafiki wa karibu wa Lulu alisema kuwa alikuja kununua dawa za kumpelekea Lulu gerezani kwa kuwa amepatwa na ugonjwa unaomshambulia...
Read more...

SAUDI MILLIONAIRE BUYS A BOTTLE OF WINE FOR $136,000

0 comments
A Saudi millionaire splurged $136,000 on a bottle of champagneat Dubai’s glitzy Cavalli club over the weekend, a UAE newspaper reported on Tuesday. “The Saudi Arabian and his friends guzzled” a bottle of Louis Roederer Cristal in the early hours of Saturday morning, the 7DAYS newspaper said. The vintage bottle was “one of just three believed to be available worldwide,” the paper added. The other two were for sale at nightclubs in...
Read more...

MAFISANGO KUAGWA LEO,RAGE AELEZA KILICHOTOKEA

0 comments
Hili ndio gari alilopata nalo ajali marehemu Mafisango Leo Ijumaa watu watapata fursa ya kuuaga mwili wa marehemu Patrick Mafisango kwenye  viwanja vya TCC Club Chang'ombe jijini Dar es Salaam. kuanzia saa nne asubuhi (awali ilikuwa imepangwa mwili uagwe katika viwanja vya Leaders Club Kinondoni) . Taarifa zilizotolewa baadaye na msemaji wa familia zimetaarifu kuwa mwili wa marehemu Patrick utasafirishwa na ndege ya saa...
Read more...

Wednesday, May 16, 2012

PATRICK MAFISANGO WA SIMBA SC AFARIKI DUNIA KWA AJALI ALFAJIRI YA KUAMKIA LEO

0 comments
MCHEZAJI Patrick Mafisango wa timu ya Simba ya Dar es Salaam amefariki dunia leo kwa ajali ya gari katika eneo la Tazara jijini Dar es Salaam. Taarifa ambazo zimetolewa kutoka Klabu ya Simba zimesema Mafisango amefariki dunia leo asubuhi kwa ajali ya gari maeneo ya Tazara. Mtandao huu utawaletea taarifa zaidi za tukio hilo muda mfupi baadaye. Mtandao huu pia unatoa pole kwa familia, ndugu, jamaa, marafiki na klabu nzima ya Simba kwa pigo...
Read more...

Tuesday, May 15, 2012

MARA BAADA YA KUFIKA INDIA WASTARA AONGELEA TATIZO LILILOJITOKEZA

0 comments
Wastara wakati akichangisha hela ya matibabu ya Sajuki katika kipindi cha Leo Tena cha Clouds Fm Wastara,Mke wa msanii wa filam za kibongo,Juma `Sajuki`Kilowoko aliongea katika kipindi cha `Leo Tena` na Dina Marios kwa njia ya simu moja kwa moja kutoka India ambako Sajuki ameenda kwa ajili ya matibabu.Dina ameyaweka maongezi hayo kwenye blog yake ya dinamarios.blogspot.com.Haya ndio maongezi yao: SOURCE:www.dinamarios.blogspot....
Read more...

Katherine Jackson Discuss Conrad Murray, Says He’s Not Serving Enough Jail Time

0 comments
Katherine has said that she’s never met Dr Murray nor, to her knowledge, has he ever reached out to meet her.  And she’s also expressed her feelings on his sentence, noting that she doesn’t think four years is long enough.  You can tell this will be a really emotional interview; she appears sad and teary eyed throughout the entire clip....
Read more...

PICHANI LIVE! KIJANA ALIVYOBAMBWA UBUNGO AKICHUNA MBWA KWA AJILI YA BIASHARA YA MISHIKAKI

0 comments
PICHA KUTOKA THE CHOICE...
Read more...
 
Said Nuhu © 2012 SAID NUHU BLOGS. BLOG IMETENGENEZWA NA BongoClan blog designer nipigie 0658184797