
Hawk-Eye
Washabiki wa soka wanaofuatilia kwa makini Ligi Kuu ya
Uingereza Premier League,wataanza kuiona teknolojia ya golini ikitumika kwenye
ligi hiyo ifikapo mwezi Januari mwakani baada ya Bodi ya Kimataifa ya Vyama vya
Soka Ulimwenguni (IFAB) kutia tiki matumizi ya teknolojia hiyo katikati ya
wiki.
IFAB(International FA Board)imeingiza teknolojia hiyo kuwa
moja ya sheria zitakazoendesha mchezo huo,na kufungua ukurasa mpya kabisa
katika...