Pages

 

Friday, July 6, 2012

IJUE TEKNOLOJIA MPYA YA GOLINI KWA UFASAHA

0 comments
Hawk-Eye Washabiki wa soka wanaofuatilia kwa makini Ligi Kuu ya Uingereza Premier League,wataanza kuiona teknolojia ya golini ikitumika kwenye ligi hiyo ifikapo mwezi Januari mwakani baada ya Bodi ya Kimataifa ya Vyama vya Soka Ulimwenguni (IFAB) kutia tiki matumizi ya teknolojia hiyo katikati ya wiki. IFAB(International FA Board)imeingiza teknolojia hiyo kuwa moja ya sheria zitakazoendesha mchezo huo,na kufungua ukurasa mpya kabisa katika...
Read more...
 
Said Nuhu © 2012 SAID NUHU BLOGS. BLOG IMETENGENEZWA NA BongoClan blog designer nipigie 0658184797