Edgar
Davis Mosha mtoto wa mfanyabiashara tajiri na maarufu boss wa kampuni
ya DELINA, Bwana Davis Mosha amehojiwa na VOA (Voice of America). Edgar na
baba yake wametua kwa kishindo nchini Marekani wakitokea Uingereza
ambapo Edgar amepeperusha vyema bendera ya Tanzania kwa kuitwa kufanya
majaribio na klabu ya Chelsea ya Uingereza..

HABARI ZAKISIASA
UTAPATA HABARI MBALIMBALI ZA KISIASA KUTOKA NDANI NA NJE YA NCHI, UKIWA HAPAHAPASAID NUHU

HABARI ZA BURUDANI
UKIWA HAPA UTAPATA HABARI ZOTE ZA BURUDANI KUTOKA KILA KONA YA DUNIA...SAID NUHU

HABARI ZA MICHEZO
UKIWA HAPA UTAPATA HABARI ZA KILA AINA YA MICHEZO, KUANZIA MPIRA WA MIGUU, BASKETBALL, GOLF NKSAID NUHU

HABARI ZA KIMATAIFA
HAPA UTAPATA HABARI ZA KIMATAIFA KUTOKA KILA KONA YA DUNIAMore
Sunday, July 28, 2013
WATANZANIA WALIOKAMATWA NA MADAWA HONG KONG WATUMA WARAKA MZITO..WATAJA WAHUSIKA WAKUU..WAMO VIGOGO NA WAFANYABIASHARA MAARUFU
WATANZANIA walio gerezani nchini Hong Kong kwa makosa ya kukutwa wakisafirisha madawa hatari ya kulevya,wametuma waraka mzito kwa wananchi wenzao kuelezea mambo mengi ambayo wananchi wa kawaida hawayajui kuhusu biashara hiyo inayopigwa vita duniani kote,na pia wamewataja wahusika ambao ndio wamiliki wakuu wa biashara hiyo waraka wenyewe ni huu hapa chini..usome kwa makini:
Friday, July 26, 2013
VYAMA VYA USHIRIKA NI MAGENGE YA WEZI-KIKWETE
![]() |
Rais Kikwete |
Kikwete aliyasema hayo juzi jioni alipokuwa
akizungumza na wananchi baada ya kufungua jengo la kitega uchumi la
Chama cha Ushirika cha Mkoa wa Kagera (KCU), mjini Bukoba.
“Acheni kuwa wachuuzi tu wa kununua na kuuza mazao
ya wananchi na badala yake mjiingize katika shughuli za uwekezaji na
maendeleo ya kwelikweli ya wanachama wenu,” alinena Rais.
“Hapa Kagera ni kitovu cha ushirika na KCU ni
kitovu cha kuboresha na kuleta usasa katika shughuli za ushirika. Siyo
kama vyama vingine ambavyo ni mkusanyiko wa wezi wanaokula waziwazi
mchana bila hata aibu ….wanakula bila kunawa,” alisisitiza.
Rais Kikwete alisema huko nyuma Serikali ilifanya
uamuzi wa kulipa madeni yote ya ushirika nchini ili kuvipunguzia vyama
mzigo wa kujiendesha.
Alisema hata hivyo sasa vyama hivyohivyo, vimeanza
kujitumbukiza tena katika madeni na kwamba hiyo inatokana na kukosa
viongozi waaminifu na waadilifu.
Kabla ya kuzindua jengo hilo, Rais Kikwete aliweka
jiwe la msingi kwenye upanuzi wa Uwanja wa Ndege wa Bukoba ambao
unapanuliwa ili kuufanya kuwa wa kisasa. Kazi hiyo itagharimu Sh21.015
bilioni, itakapokamilika.
Mradi huo wa upanuzi wa uwanja ulianza Februari mwaka jana na unatarajiwa kukamilika Februari mwakani.
Upanuzi huo ukikamilika uwanja huo utakuwa na uwezo wa kuhudumia wasafiri 500,000 kwa mwaka sawa na wasafiri 150 kwa saa.
Uwanja huo umekuwa ukilalamiwa kuwa ndiyo kikwazo
cha kukosekana kwa huduma za uhakika za usafiri wa anga kati ya Kagera
na mikoa mingine nchini.
Kwa sasa wananchi wengi wa mkoa huo wanaosafiri
lwa ndege, wamekuwa wakiishia katika Uwanja wa Ndege wa Mwanza na
baadaye kusafiri kwa meli.
HUU NI WARAKA MZITO KWA WATANZANIA KUTOKA KWA KALA JEREMIAH KUHUSU LOWASSA
![]() |
Msanii wa Hip hop Kala Jeremiah |
TANGAZO KWA UMMA
MIMI KALA JEREMIAH NILIKUWA MSANII WA KWANZA TANZANIA KUMSEMA MHESHIMIWA EDWARD LOWASA KUPITIA WIMBO WANGU UITWAO WIMBO WA TAIFA BAADA YA MHESHIMIWA KUKUMBWA NA KASHFA YA UFISADI WA RICHMOND.KWA KIPINDI KILE KILA MMOJA WETU ALIHAMAKI SANA NA KUONA KWELI MZEE WA WATU NI FISADI.KWENYE WIMBO HUO KUNA MISTARI NILISEMA. mi siyo mwana siasa sisubiri tume ichunguze nistaafu ka Lowasa.
KWA KUWA MIMI NI MZURI SANA KWENYE KUFANYA UCHUNGUZI BINAFSI NILITUMIA MUDA MWINGI SANA KULICHUNGUZA SWALA HILI LA KASHFA HII NA BAADAE NILIGUNDUA KUWA NI SWALA LA KISIASA.NA YALIKUWA NI MAPITO AMBAYO MWANADAMU YOYOTE HUPEWA MUDA WA KUPITIA MAGUMU ILI KUPIMWA IMANI YAKE KWA MUNGU.
BAADA YA KUGUNDUA HAYO MWAKA JANA NILITENGENEZA WIMBO UNAOITWA AZIMIO LA ARUSHA AMBAO UPO KWENYE ALBUM YANGU YA PASAKA AMBAYO IKO SOKONI TOKEA MWAKA JANA. KATIKA WIMBO HUO WA AZIMIO LA ARUSHA NILIANDIKA MISTARI IFUATAYO. walipiga dili waka msakizia lowasa ili kuficha siri kali.NILIANDIKA MSTARI HUU BAADA YA KUFANYA UCHUNGUZI NA KUJIRIDHISHA KUWA MHESHIMIWA NI KIONGOZI BORA SANA NA HASA KWA UAMUZI WAKE WA KUJIUZULU BILA SHINIKIZO KUBWA NA WAKATI KWA NAFASI ALIYOKUWA NAYO YA UWAZIRI MKUU ALIKUWA NA UWEZO WA KUGOMA KUJIUZULU NA HASA KWA KUWA HAKUWA FISADI KAMA ILIVYOSEMWA.
MWEZI WA TATU MWISHONI MWAKA HUU NILITOA WIMBO UNAOKWENDA KWA JINA LA KARIBU DAR AMBAKO NILISEMA dar es salam ingekuwa nchi Rais angekuwa Lowasa huku watu washashtukia kuna mchezo kwenye siasa HAPA NILIKUWA NAMAANISHA KUWA WATU WENGI WANAOISHI DAR WANAWAHI KUJUA MAMBO YA WANASIASA KWA KUWA WANASIASA WANAISHI HUKU LAKINI PIA WATAFITI WENGI WA MAMBO YA KISIASA WANAISHI HUKU KWA HIYO NI RAHISI ZAIDI KUUJUA UKWELI MAPEMA.
NAAMINI KUONDOKA KWA LOWASA KWENYE UWAZIRI MKUU KUMEZOROTESHA MAENDELEO YA TAIFA KWA KIASI FLANI
NDUGU ZANGU WATANZANIA NI WAZI KUWA LOWASA NI JEMBE TENA JEMBE LA KAZI KUMBUKENI BILA LOWASA KUSINGEKUWA NA SHULE ZA KATA TANZANIA,NA ANGEENDELEA KUWEPO MADARAKANI ALIKUWA NA MPANGO WA KUANZA MCHAKATO WA ZAHANATI ZA KATA.IKUMBUKWE PIA LOWASA NDIYE ALIYESIMAMIA UJENZI WA CHUO CHA UDOM TENA KWA PESA ZA KITANZANIA BILA KUOMBAOMBA VIMIKOPO.
MRADI WA MAJI KUTOKA MWANZA KWENDA SHINYANGA NI KAZI YA LOWASA. ZIPO KAZI NYINGI AMBAZO NIKIZITAJA ZOTE NAWEZA KUJAZA UKURASA.NACHOJARIBU KUSEMA HAPA NI KWA KUWA MIMI NI MSANII NA NI KIOO CHA JAMII NINGEOMBA WEWE MWANAJAMII CHUKUA HATUA YA KUFANYA UCHUNGUZI BINAFSI KUHUSU LOWASA.BILA KUFUATA MKUMBO WA KISIASA NAAMINI UTAKUBALIANA NA MIMI KUWA LOWASA NI JEMBE.
MIMI HUWA NAPENDA KUSOMA VITABU VYA WANAHARAKATI NA KUNA KITABU KIMOJA NILIKIPITIA CHA MWANAHARAKATI KUTOKA ITALY AITWAE NICCOLO MACHIAVELLI AMBAYE ALIZALIWA MWAKA 1469 NA KUFARIKI 1527. KATIKA ENZI ZA UHAI WAKE ALIWAHI KUANDIKA VITABU KADHAA LAKINI KATI YA VITABU HIVYO KITABU KIITWACHO THE PRINCE NDICHO KILIMPA HESHIMA KUBWA SANA KWA KUWA ALIIKOSOA SERIKALI YA KIFALME YA KIPINDI HICHO KITU AMBACHO HAKIKUWA RAHISI KWA MTU KUFANYA HASA IKIKUMBUKWA KUWA ENZI ZA UFALME ZILIKUWA ENZI ZA UBABE. KATIKA MANENO KUTOKA KWENYE KITABU HICHO AMBAYO NINGE PENDA KUKUSHIRIKISHA WEWE NDUGU YANGU MTANZANIA NI MANENO YAFUATAYO MACHIAVELLI ALIANDIKA HIVI. kuna kipindi ambacho mataifa yanapita katika vipindi vigumu. na kwa kipindi hicho kigumu mataifa hayo yatahitaji sana kupata kiongozi mwenye kuweza kuchukua maamuzi magumu,na ambaye hatakuwa chini ya sauti ya mtu mwingine, na ambaye ataweza kuyatekeleza maamuzi magumu kwa haraka hata kama ni kwa kuwaumiza wachache ili wengi wawe huru.atakayekuwa tayari kutekeleza jambo baya ili likapita na kusahaulika na atakayetekeleza mambo mazuri kwa muda mrefu na yakaendlea kukumbukwa.kiongozi huyo atatakiwa kuchagua kuogopwa ama kupendwa lakini ni bora akachagua kuogopwa lakini akitenda haki kwa wananchi husika.HAYO NI BAADHI YA MANENO ALIYOANDIKA MACHIAVELLI KWENYE THE PRINCE KITABU AMBACHO KILIMPELEKEA KUITWA NA MFALME NA KUPEWA NAFASI YA JUU YA UONGOZI KATIKA SERIKALI HIYO YA KIFALME.
KWA MAONI YANGU NADHANI TAIFA LETU LIMEPITIA VIPINDI VIGUMU KADHAA NA KWA MANENO YA BWANA MACHIAVELLI NADHANI KIONGOZI ANAYEFAA AMBAYE ANAWEZA AKACHUKUA MAAMUZI MAGUMU NA AMBAYE HAWEZI KUWA CHINI YA SAUTI YA MTU MWINGINE NI MHESHIMIWA EDWARD NGOYAI LOWASA.
tafakari chukua hatua
MIMI KALA JEREMIAH NILIKUWA MSANII WA KWANZA TANZANIA KUMSEMA MHESHIMIWA EDWARD LOWASA KUPITIA WIMBO WANGU UITWAO WIMBO WA TAIFA BAADA YA MHESHIMIWA KUKUMBWA NA KASHFA YA UFISADI WA RICHMOND.KWA KIPINDI KILE KILA MMOJA WETU ALIHAMAKI SANA NA KUONA KWELI MZEE WA WATU NI FISADI.KWENYE WIMBO HUO KUNA MISTARI NILISEMA. mi siyo mwana siasa sisubiri tume ichunguze nistaafu ka Lowasa.
KWA KUWA MIMI NI MZURI SANA KWENYE KUFANYA UCHUNGUZI BINAFSI NILITUMIA MUDA MWINGI SANA KULICHUNGUZA SWALA HILI LA KASHFA HII NA BAADAE NILIGUNDUA KUWA NI SWALA LA KISIASA.NA YALIKUWA NI MAPITO AMBAYO MWANADAMU YOYOTE HUPEWA MUDA WA KUPITIA MAGUMU ILI KUPIMWA IMANI YAKE KWA MUNGU.
BAADA YA KUGUNDUA HAYO MWAKA JANA NILITENGENEZA WIMBO UNAOITWA AZIMIO LA ARUSHA AMBAO UPO KWENYE ALBUM YANGU YA PASAKA AMBAYO IKO SOKONI TOKEA MWAKA JANA. KATIKA WIMBO HUO WA AZIMIO LA ARUSHA NILIANDIKA MISTARI IFUATAYO. walipiga dili waka msakizia lowasa ili kuficha siri kali.NILIANDIKA MSTARI HUU BAADA YA KUFANYA UCHUNGUZI NA KUJIRIDHISHA KUWA MHESHIMIWA NI KIONGOZI BORA SANA NA HASA KWA UAMUZI WAKE WA KUJIUZULU BILA SHINIKIZO KUBWA NA WAKATI KWA NAFASI ALIYOKUWA NAYO YA UWAZIRI MKUU ALIKUWA NA UWEZO WA KUGOMA KUJIUZULU NA HASA KWA KUWA HAKUWA FISADI KAMA ILIVYOSEMWA.
MWEZI WA TATU MWISHONI MWAKA HUU NILITOA WIMBO UNAOKWENDA KWA JINA LA KARIBU DAR AMBAKO NILISEMA dar es salam ingekuwa nchi Rais angekuwa Lowasa huku watu washashtukia kuna mchezo kwenye siasa HAPA NILIKUWA NAMAANISHA KUWA WATU WENGI WANAOISHI DAR WANAWAHI KUJUA MAMBO YA WANASIASA KWA KUWA WANASIASA WANAISHI HUKU LAKINI PIA WATAFITI WENGI WA MAMBO YA KISIASA WANAISHI HUKU KWA HIYO NI RAHISI ZAIDI KUUJUA UKWELI MAPEMA.
NAAMINI KUONDOKA KWA LOWASA KWENYE UWAZIRI MKUU KUMEZOROTESHA MAENDELEO YA TAIFA KWA KIASI FLANI
NDUGU ZANGU WATANZANIA NI WAZI KUWA LOWASA NI JEMBE TENA JEMBE LA KAZI KUMBUKENI BILA LOWASA KUSINGEKUWA NA SHULE ZA KATA TANZANIA,NA ANGEENDELEA KUWEPO MADARAKANI ALIKUWA NA MPANGO WA KUANZA MCHAKATO WA ZAHANATI ZA KATA.IKUMBUKWE PIA LOWASA NDIYE ALIYESIMAMIA UJENZI WA CHUO CHA UDOM TENA KWA PESA ZA KITANZANIA BILA KUOMBAOMBA VIMIKOPO.
MRADI WA MAJI KUTOKA MWANZA KWENDA SHINYANGA NI KAZI YA LOWASA. ZIPO KAZI NYINGI AMBAZO NIKIZITAJA ZOTE NAWEZA KUJAZA UKURASA.NACHOJARIBU KUSEMA HAPA NI KWA KUWA MIMI NI MSANII NA NI KIOO CHA JAMII NINGEOMBA WEWE MWANAJAMII CHUKUA HATUA YA KUFANYA UCHUNGUZI BINAFSI KUHUSU LOWASA.BILA KUFUATA MKUMBO WA KISIASA NAAMINI UTAKUBALIANA NA MIMI KUWA LOWASA NI JEMBE.
MIMI HUWA NAPENDA KUSOMA VITABU VYA WANAHARAKATI NA KUNA KITABU KIMOJA NILIKIPITIA CHA MWANAHARAKATI KUTOKA ITALY AITWAE NICCOLO MACHIAVELLI AMBAYE ALIZALIWA MWAKA 1469 NA KUFARIKI 1527. KATIKA ENZI ZA UHAI WAKE ALIWAHI KUANDIKA VITABU KADHAA LAKINI KATI YA VITABU HIVYO KITABU KIITWACHO THE PRINCE NDICHO KILIMPA HESHIMA KUBWA SANA KWA KUWA ALIIKOSOA SERIKALI YA KIFALME YA KIPINDI HICHO KITU AMBACHO HAKIKUWA RAHISI KWA MTU KUFANYA HASA IKIKUMBUKWA KUWA ENZI ZA UFALME ZILIKUWA ENZI ZA UBABE. KATIKA MANENO KUTOKA KWENYE KITABU HICHO AMBAYO NINGE PENDA KUKUSHIRIKISHA WEWE NDUGU YANGU MTANZANIA NI MANENO YAFUATAYO MACHIAVELLI ALIANDIKA HIVI. kuna kipindi ambacho mataifa yanapita katika vipindi vigumu. na kwa kipindi hicho kigumu mataifa hayo yatahitaji sana kupata kiongozi mwenye kuweza kuchukua maamuzi magumu,na ambaye hatakuwa chini ya sauti ya mtu mwingine, na ambaye ataweza kuyatekeleza maamuzi magumu kwa haraka hata kama ni kwa kuwaumiza wachache ili wengi wawe huru.atakayekuwa tayari kutekeleza jambo baya ili likapita na kusahaulika na atakayetekeleza mambo mazuri kwa muda mrefu na yakaendlea kukumbukwa.kiongozi huyo atatakiwa kuchagua kuogopwa ama kupendwa lakini ni bora akachagua kuogopwa lakini akitenda haki kwa wananchi husika.HAYO NI BAADHI YA MANENO ALIYOANDIKA MACHIAVELLI KWENYE THE PRINCE KITABU AMBACHO KILIMPELEKEA KUITWA NA MFALME NA KUPEWA NAFASI YA JUU YA UONGOZI KATIKA SERIKALI HIYO YA KIFALME.
KWA MAONI YANGU NADHANI TAIFA LETU LIMEPITIA VIPINDI VIGUMU KADHAA NA KWA MANENO YA BWANA MACHIAVELLI NADHANI KIONGOZI ANAYEFAA AMBAYE ANAWEZA AKACHUKUA MAAMUZI MAGUMU NA AMBAYE HAWEZI KUWA CHINI YA SAUTI YA MTU MWINGINE NI MHESHIMIWA EDWARD NGOYAI LOWASA.
tafakari chukua hatua
Monday, July 22, 2013
ORPHANED GIRL BURNT WITH HOT WATER BY HER KEEPER IN AN ARGUMENT OVER DISAPPEARED PART OF FOOD
![]() |
Dora after after reciving medical treatment |
A twelve years old girl,student of Wazo Hill Primary School in Dar Es Salaam,has claimed that she was burnt with hot water by her niece, Saum Masudi.
The little girl whose name is Dora said she faced that kind of atrocity few days ago in the Wazo area where she lives with Saum, her niece, and keeper after the death of her father.
In her account of the tragedy Dora said that in the morning of that day she woke up early and cleaned the house and in that course visited the den where they keep ducks to clean it.
"After finishing with cleanliness I went inside the main house and found thick porridge which was left over since yesterday.I took few slabs off and gave them to ducks in the den,my sister (niece) was asleep at the time.When she woke up,she found the thick porridge was halved so she demanded to know what happened to the food.I told her that I served some to our ducks.She didn`t believe me,so she pulled me to the den to prove it.At the time we arrive at the den,there was nothing, the food was long been eaten by ducks.She called me a liar,and started to tie my hands and legs together.After that she splashed very hot water around my body."
![]() |
Dora shows off severity of inflictions she received |
She said she was wounded in different parts of her body and she never received instant medical care after that.After few days the wounds started to rot and stink until the day one of her relatives paid a visit and wanted to shave her untidy hair.In the process the relative told her to take off the T-shirt she was wearing so it doesn`t get covered by her falling hair.That`s when the relative came to the horrific scene of stinking wounds.After recovering from her shock of the day, the relative wanted to know what really happened .Dora explained it all and Dora`s keeper fled the house immediatelly.
![]() |
Dora poses with her helper Kauthari Isack |
After the news of her miseries broke it`s boundaries,Dora said a good samaritan Kauthari Isack who was emotinally touched by Dora`s story took her to the Police station and then to hospital for medical care.Kauthari confirmed that she helped Dora to hospital after becaming emotinally very touched by her story
"I took her firstly to the police station to get Police Form 3 so she could be accepted by medical staff at the hospital, and people at the police station opened a case no.KW/RB/6034/2013.The search for suspect has just begun and they (police) have husband of the suspect to help the search.
The Kinondoni Regional Police Commander ACP Camillius Wambura has confirmed the incident regarding Dora inflictions and of the ongoing searching of the suspect
"I warn all members of the public, that this kind of cruelty can not be tolerated.People should refrain from doing such things, because we have severe punishment in store for this"
HUU NI UKATILI MKUBWA..YATIMA AMWAGIWA MAJI YA MOTO,KISA KIPORO CHA UGALI!
![]() |
Mtoto Dora baada ya kupata msaada kutoka kwa msamaria mwema |
Mtoto Dora Juma,12, mwanafunzi wa Shule ya Msingi Wazo Hill, Wilaya ya Kinondoni jijini Dar es Salaam imedaiwa ameunguzwa kwa maji ya moto na binamu yake aliyetajwa kwa jina la Saum Masud.
Dora ambaye ni yatima alikutwa na dhahama hiyo hivi karibuni eneo la Wazo Dar alikokuwa akiishi na binamu yake huyo kama mlezi wake baada ya kufiwa na baba yake.
Akisimulia tukio hilo Dora alidai kuwa siku ya tukio aliamka asubuhi kufanya usafi wa uwanja nyumbani na akaingia katika banda la bata kwa ajili ya kulisafisha.
“Baada ya kumaliza usafi niliingia ndani na kukuta kiporo cha ugali nikakata kipande nikawapa bata bandani, wakati huo dada (Saum) alikuwa amelala, alipoamka na kukuta kiporo cha ugali kimekatwa aliniuliza nikamueleza nimewapa bata, hakuamini.
“Akaniambia twende bandani kuangalia kama nasema kweli, tulifika tukakuta bata wameula hali iliyomfanya dada kutoamini, alinifunga mikono na miguu na kuniunguza kwa maji ya moto sehemu mbalimbali mwilini,” alidai Dora.
![]() |
Mtoto Dora akionesha alivyounguzwa mgongoni kwa kumwagiwa maji ya moto |
“Aliniambia nivue fulana ili nywele zisinidondokee, nilipovua alishangaa kuona nina vidonda mwilini, nilipomueleza mkasa mzima aliwapigia simu ndugu wengine hali iliyofanya dada Saumu kukimbia na kwenda kusikojulikana,” alidai.
Dora alisema alichukuliwa na msamaria mwema aitwaye Kauthari Issack ambaye aliliambia kuwa kweli alimchukua binti huyo baada ya kuguswa na unyama aliofanyiwa.
![]() |
Mtoto Dora akiwa na msamaria mwema Kauthari Isack |
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kipolisi wa Kinondoni ACP Camillius Wambura amethibitisha mtoto huyo kufanyiwa kitendo hicho na kusakwa mtuhumiwa. “Niwaonye wananchi kwamba ukatili kama huu hauwezi kuvumiliwa, watu wajiepushe nao maana watachukuliwa hatua kali za kisheria,” alionya Kamanda Wambura.
MJANE WA MWANAJESHII ALIEUAWA DARFUR `ATOLEWA NDUKI`
Hata kabla ya maziko askari wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania
(JWTZ), waliouawa Darfur, Sudan hayajafanyika, mchumba wa mmoja wa
wapiganaji hao, Amina Juma ameonja chungu nyingine baada ya kutimuliwa
kwenye nyumba aliyokuwa akiishi na marehemu mwenza wake.
Amina ambaye inadaiwa kuwa alikuwa akiishi na
Fortunatus Msofe aliyekuwa askari katika Kambi ya Msangani, 36KJ Pwani
alisema jana: “Kumekuwa na mzozo wa hali ya juu na ndiyo maana
tumeshindwa hata kufika Uwanja wa Ndege kuupokea mwili na hata kesho
(leo) sidhani kama nitakwenda... kuna mtafaruku mkubwa wa kifamilia.”
![]() |
Amina Juma |
Baada ya kutimuliwa, Amina ambaye hawakuwahi
kupata mtoto na marehemu Msofe, alilazimika kuondoka kwenye nyumba hiyo
na kwenda Mlandizi kwa wazazi wake.
“Nimeishi na Msofe kwa miaka mitatu, akiwa kambini
mimi niko hapa na wakati mwingine alikuwa analala huku... lakini leo
wamenitimua,” alisema huku akilia.
Habari zilizothibitishwa na baadhi ya waombolezaji
waliokuwa nyumbani kwa marehemu Visiga, Kibaha zinasema baadhi ya
wanandugu walimkana Amina siku chache baada ya kutangazwa vifo hivyo.
Ilidaiwa kwamba Amina alitimuliwa katika nyumba
hiyo Ijumaa iliyopita, saa saba mchana baada ya ndugu watatu wa marehemu
kufika hapo wakitokea Tanga.
Walipofika inadaiwa kuwa walitangaza kusitishwa msiba huo katika nyumba hiyo na kutangaza kutomtambua mke huyo.
Watu hao waliwaeleza waombolezaji kuwa walitumwa
na baba mzazi wa marehemu, Willbad Msofe kutoka Kange, Tanga kufika
Kibaha kusitisha msiba uliokuwa ukiendelea nyumbani kwa mtoto wake huyo.
Inadaiwa pia kuwa katika msafara huo, alikuwapo mdogo wa marehemu ambaye aliwahi kuishi kwa miaka miwili na Amina hapo Visiga.
Ilidaiwa kuwa walipofika nyumbani hapo walionana
na mfiwa, Amina na wazazi wake ambao pamoja na majirani na watu wengine
wengi, walikuwa wakimfariji binti yao huyo.
Mmoja wa waombolezaji alisema baada ya salamu
wanandugu hao walianza kuulizia mali za marehemu na walikuwa wakimuuliza
Amina ambaye aliwaleza kila kitu kilipo na baada ya hapo ndipo
walipomweleza kuwa wametumwa na baba wa marehemu kuwa watu hawatakiwi
kuomboleza kwenye eneo hilo kwani msiba upo Tanga tu ambako ndiko iliko
familia yake.
Alipoulizwa baba wa marehemu, Mzee Msofe alisema:
“Mimi ndiye niliyeagiza nyumba ifungwe na ukweli ninamfahamu Amina,
lakini simtambui kama mkewe kwa kuwa hawajafunga ndoa... Hata wewe si
unayafahamu haya? Uchumba si ndoa na ukifunga ndoa ndipo unatambulika
rasmi,” alisema
WALIVYOISHI NA MAREHEMU
Akiwa kwa wazazi wake Mlandizi jana, Amina alisema:
“Namwachia Mungu maana hayo yote nashangaa
yanatokea wakati huu mume wangu ‘Fortu’ amekufa, mbona kipindi chote cha
miaka mitatu iliyopita familia ya Tanga dada zake na mdogo wake
tuliishi nao vizuri kwangu nilipokuwa na marehemu? Nimeishi na ndugu
wote lakini hawakuwahi kuhoji, hata nilipokwenda na mume wangu Kange
baba na mama Msofe nilikaa nao zaidi ya wiki na hawakunikana, ila
nashangaa,” alisema na kulia kwa uchungu.
Akizungumzia kitendo hicho, baba yake Amina, Juma
Juma alisema: “Nimeshangaa hizi taarifa. Tulikuwa tunajiandaa kupokea
msiba wa mwanetu, lakini leo yanakuja mengine kwa kweli imetushangaza
sana.”
“Nasubiri baada ya kumzika marehemu, nitazungumza
nao... Kinachonishangaza ni kwamba walituandikia barua ya kumposa binti
yangu na tukawajibu na gharama zilikuwa Sh1.2 milioni... Tutazungumza,
ngoja hili lipite kwanza,” alisema mzee Juma.
WALIVYOISHI NA MAREHEMU
Akisimulia maisha yao, Amina alisema: “Tulianza
kuishi Mbezi Luis mwaka 2010 katika nyumba ya kupanga na nikamshawishi
tununue kiwanja na kwa kuwa mimi ni mwenyeji wa Kibaha, niliwatumia
marafiki wa familia yangu Mlandizi wakatafutia eneo na mwaka 2011
tulipata na tukaanza ujenzi.
“Tukiwa Mbezi, tulianza kufyatua matofali kisha
ujenzi ukaanza Visiga mwaka 2012 mwanzoni na Septemba mwaka huo
tulihamia kwenye nyumba yetu na hapo ndiyo ilikuwa makazi yetu hadi
marehemu anaondoka kwenda Darfur.
“Wakati wote huo ‘Fortu’ alikuwa keshaniposa na
hata barua zote za posa zipo na tulikuwa tukisubiri utaratibu wa kijeshi
marehemu kukamilisha miaka sita ya kukaa kambini kisheria ndipo
aruhusiwe kuoa.
“Fortu alikamilisha miaka hiyo mwaka 2012 mwishoni
na wakati akijiandaa kwa kufunga ndoa ndipo ikatokea safari ya Darfur
mwanzoni mwa mwaka huu na tukakubaliana tusitishe kwanza akirudi
tukamilishe, lakini haikuwa.... Halafu wananifukuza wanasema hawanijui,”
alieleza huku akiangua kilio.
CHANZO:GAZETI LA MWANANCHI
CHANZO:GAZETI LA MWANANCHI
Sunday, July 21, 2013
SHILOLE AFANYA MAHOJIANO NA `TAKE ONE` NYUMBANI KWA DIAMOND
Katika mahojiano hayo
ambayo yanatarajiwa kurushwa hewani na Clouds Tv siku ya Jumanne hii saa
3.30 usiku,Shilole amelezea faida alizopata kama msanii katika safari
yake nchini Marekani,na pia matarajio yake baada ya safari hiyo,ikiwamo
ya kufanya kazi na msanii mmoja mkubwa wa nchi hiyo.
NUSU YA WAZAZI WA KIUME NCHINI WANALEA WATOTO WA KUBAMBIKIWA
Ofisi ya Mkemia Mkuu wa Serikali nchini imesema karibu
nusu ya watu waliojitokeza kupima vinasaba (DNA) ili kubaini uhalali wa
watoto wao, vipimo vimeonesha si wazazi halisi wa watoto waliopimwa.
Takwimu
hizo ni kwa kipindi cha miaka mitatu kuanzia mwaka 2010, ikionesha
kuwa, asilimia 48.32 ya wazazi 'wanalea' watoto wasio wa kwao wakati
asilimia 51.68 ndio wazazi halali.

Hayo yameelezwa jana na Mkuu wa
Kitengo cha Makosa ya Jinai, Vinasaba na Baiolojia wa ofisi hiyo, Gloria
Machuve katika mkutano na wanahabari kwenye Ukumbi wa Idara ya Habari
(MAELEZO), Dar es Salaam.
Ingawa hakutaja idadi kamili ya
waliojitokeza kupima DNA, alisema idadi hutofautiana mwaka hadi mwaka.
Ili kufanya vipimo vya DNA, wazazi hulazimika kulipia Sh 100,000.
Machuve alisema kazi ya DNA si kutambua watoto halali na wasio halali pekee, bali vipimo hivyo vina umuhimu mkubwa kwa jamii.
Alitoa
mfano kuwa, matumizi ya Teknolojia ya vinasaba vya binadamu yamewezesha
kesi mbili za mauaji ya vikongwe na albino kutolewa hukumu katika mikoa
ya Shinyanga, Kagera na Sumbawanga baada ya kufanyika kwa uchunguzi
katika matukio manane.
Aidha, alisema katika majanga mbalimbali yaliyokumba nchi ikiwa pamoja na milipuko ya mabomu yaliyotokea Mbagala, Dar es Salaam mwaka 2010 walitambua mabaki ya askari sita ambao baadaye walichukuliwa na ndugu zao na kuzikwa.
Alitolea pia mfano wa tukio
la moto katika Shule ya wasichana ya Idodi mkoani Iringa ambako licha ya
kuungua vibaya, miili ya wanafunzi 12 ilitambuliwa hivyo makaburi yao
kutambuliwa. Katika Jengo la ghorofa lililoporomoka mtaa wa Kisutu mwaka
huu, marehemu 23 walitambulika.
Aidha, katika ajali ya Ndege ya
Comoro mwaka 2010 mabaki ya miili ya marehemu 25 ilitambuliwa huku
katika masuala ya uhamiaji teknolojia hiyo ilitumika kudhihirisha hawana
uhusiano na wananchi wa Tanzania.
Machuve alisema katika masuala ya ubakaji na mimba za utotoni teknolojia hiyo imesaidia kuwa fikisha wahusika mahakamani pamoja na katika wizi wa kutumia silaha.
Subscribe to:
Posts (Atom)