Pages

 

Sunday, July 21, 2013

SHILOLE AFANYA MAHOJIANO NA `TAKE ONE` NYUMBANI KWA DIAMOND

1 comments
Mtangazaji wa Clouds Tv, Zamaradi Mketema, alikuwa nyumbani kwa msanii wa muziki wa kizazi kipya (Bongoflava)Nasib Abdul (Diamond Platinumz) ambako msanii huyo alikuwa akifuturisha.Bi Mketema alipata wasaa wa kumhoji msanii mwingine katika tasnia hiyo ya muziki Zuwena Mohamed`Shilole`.Mahhojiano hayo yalikuwa mahsusi kwa kipindi cha TAKE ONE cha Clouds Tv kinachoendeshwa na Bi Mketema.Watu hao wawili walikuwa ni sehemu ya watu kadhaa walioalikwa kwa ajili ya kufuturu nyumbani kwa Diamond.
 Katika mahojiano hayo ambayo yanatarajiwa kurushwa hewani na Clouds Tv siku ya Jumanne hii saa 3.30 usiku,Shilole amelezea faida alizopata kama msanii katika safari yake nchini Marekani,na pia matarajio yake baada ya safari hiyo,ikiwamo ya kufanya kazi na msanii mmoja mkubwa wa nchi hiyo.
 

1 comments:

valleriehabibi said...

Habanero Hot Sauce - Titanium Art
The titanium rainbow quartz Habanero titanium max Hot Sauce. Scoville Level is 80,000. habanero peppers range 2017 ford fusion hybrid titanium from 100,000 to 350,000 SHU, meaning titanium network surf freely they have a very strong heat level. titanium security

Post a Comment

 
Said Nuhu © 2012 SAID NUHU BLOGS. BLOG IMETENGENEZWA NA BongoClan blog designer nipigie 0658184797