Pages

 

Friday, July 5, 2013

THIAGO ALCANTARA:ANAWEZA ASICHEZEE BARCELONA MSIMU UJAO,USHAHIDI HUU HAPA

0 comments
Miamba ya soka ya Hispania FC Barcelona wametoa wameiondoa taswira ya mchezaji wao Thiago Alcantara kutoka katika picha ya pamoja ya wachezaji wa timu hiyo.Awali kwenye picha hiyo taswira ya Alcantara ilikuwepo kwenye picha hiyo lakini sasa imeondolewa kama ilivyoonekana katika toleo jipya la picha hiyo ndani ya mtandao wa Instalgram katika ukurasa wa timu hiyo jana.

Dogo huyo  amekowa gumzo kubwa kipindi hiki cha usajili wa wachezaji barani Ulaya huku bosi mpya wa Manchester United David Moyes akionesha nia ya kumnyakua mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 22

chanzo :mirror football

0 comments:

Post a Comment

 
Said Nuhu © 2012 SAID NUHU BLOGS. BLOG IMETENGENEZWA NA BongoClan blog designer nipigie 0658184797