Pages

 

Wednesday, July 10, 2013

ASIKUDANGANYE MTU,RUSHWA BADO IPO JUU DUNIANI,KENYA YAONGOZA AFRIKA MASHARIKI

0 comments
Watu wengi duniani wanaamini kuwa ufisadi umezidi huku mmoja kati ya watu wanne akikiri kutoa rushwa katika kipindi cha mwaka mmoja uliopita.

Shirika la kupambana na ufisadi duniani Transparency International limetoa ripoti ya utafiti wake jana, inayoonyesha kuwa viwango vya ufisadi duniani bado viko juu lakini watu wana uwezo wa kuukomesha.
Kati ya nchi kumi zilizotajwa,nane zinatokea barani Afrika.
ambapo katika kanda ya Afrika mashariki Kenya bado iko nyuma kukabiliana na rushwa .

0 comments:

Post a Comment

 
Said Nuhu © 2012 SAID NUHU BLOGS. BLOG IMETENGENEZWA NA BongoClan blog designer nipigie 0658184797