Pages

 

Saturday, July 13, 2013

WALIOZAMBAZA UJUMBE "KIKWETE KAMUUZIA OBAMA" TANZANIA,WAKAMATWA

0 comments

Jeshi la polisi Wilaya ya Geita linawashikilia watu wawili kwa kosa la kusambaza ujumbe kwa njia ya simu za mkononi usemao, "UMEPOKEA SHILINGI 50,000.KUTOKA KWA RAIS KIKWETE KAMA SEHEMU YA MGAO WAKO BAADA YA KIKWETE KUMUUZIA OBAMA NCHI!!"

Kamanda wa polisi mkoani hapo alisema kwamba watu hao walikamatwa baada ya kukutwa msg hizo ktk simu zao za mikononi huku wakiwa wanasambaza kwa watu wengine.
Aliendelea kudai kuwa jeshi la polisi linatoa onyo kwa wale wote wanaowachafua viongozi wa kitaifa kwa njia za ujumbe kwa simu na kwamba watawachukulia hatua kali.

0 comments:

Post a Comment

 
Said Nuhu © 2012 SAID NUHU BLOGS. BLOG IMETENGENEZWA NA BongoClan blog designer nipigie 0658184797