Pages

 

Thursday, July 11, 2013

BAADA YA DIAMOND KUTOA SIRI, UWOYA ALIA NA DUNIA

0 comments


Kufuatia jana kuripotiwa habari iliyopewa kichwa cha habari  "DIAMOND AFICHUA KISA CHA KULALA NA UWOYA!"  inayomhusu mwanadada Irene uwoya na Msanii wa kizazi kipya Diamond platnumz  na gazeti la Global publishers, hatimaye Irene Uwoya alichukua dakika kadhaa kuandika hichi alichokiandika hapa chini:
“Kuna saa najiuliza kwanin ukimwamin mtu ndio anageuka...kwanin ukiwa muwaz watu wanakuchukulia vbaya? Leo nimeumia sanaaa kuliko skuzote...sijaamini mtu niliye mwamini kumuona kama rafiki yangu anaweza kuongea shit kuhusu mim...au najiuliza siruhusiwi kuwa na rafik wa kiume? Lakin sa nyingine nakaa chin nasema God ...u know me better”

0 comments:

Post a Comment

 
Said Nuhu © 2012 SAID NUHU BLOGS. BLOG IMETENGENEZWA NA BongoClan blog designer nipigie 0658184797