Pages

 

Sunday, July 7, 2013

AIBU!!DIAMOND PLATINUMZ AMUUMBUA DIAMOND FEKI WA KWENYE FACEBOOK !

0 comments
Katika hali ya kuchoshwa na tabia za watu wanaotumia majina ya wasanii na watu maarufu kujipatia wafuasi kwenye akaunti zao za Facebook  au Twitter msanii Naseeb Abdul ambae kisanii anatumia jina la Diamond Platinumz ameibuka na shutuma nzito dhidi ya watu wenye tabia hio na kufikia hatua kumuibua DIAMOND PLATINUMZ feki ambaye kwenye akaunti yake ya Facebook anatumia jina la Diamond Platinumz Swaqq

Muda mfupi baada ya ujumbe wa Diamond Platinumz kuwa hewani Diamond feki aliweka hadharani mambo kwa `washabiki` wake kwa kuweka picha ambayo nayo inatia wasiwasi iwapo haendelei kuwadanganya



Na matusi hayakuishia hapo,Diamond feki bado anaendelea kupokea Comment za kumlaani

0 comments:

Post a Comment

 
Said Nuhu © 2012 SAID NUHU BLOGS. BLOG IMETENGENEZWA NA BongoClan blog designer nipigie 0658184797