Pages

 

Thursday, July 11, 2013

BREAKING NEWS: ..ROONEY AUMIA MAZOEZINI KURUDISHWA NYUMBANI HARAKA

0 comments

Klabu ya Manchester United imetoa taarifa za kuumia kwa mshambuliaji wake Wayne Rooney leo na kwamba katika uchunguzi wa scan uliofanyika jioni hii umeonesha kuwa amepata matatizo kwenye misuli ya paja

Kutokana na ugunduzi huo klabu imeamua kumrudisha nyumbani Uingereza kutoka ziarani ,ili kumfanyia uchunguzi wa kina na matibabu yanayostahili
Inakadiriwa kuwa Rooney anaweza kuwa fiti baada ya mwezi mmoja

Add caption

0 comments:

Post a Comment

 
Said Nuhu © 2012 SAID NUHU BLOGS. BLOG IMETENGENEZWA NA BongoClan blog designer nipigie 0658184797