
Benson
Kigaila, Mkurugenzi wa mafunzo na organization Chama Cha Demokrasia na
Maendeleo. akitoa tamko la chama hicho juu ya kutekwa na kuteswa
mwenyekiti wa madaktari dk Ulimboka steven, katika makao makuu ya
CHADEMA Mtaa wa Ufipa Kinondoni, leo mchana
Mkurugenzi wa Mafunzo na Oganaizesheni ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo,CHADEMA,Bw.Benson Kigaila leo mchana ametoa tamko la chama hicho juu ya utekwaji nyara wa Kiongozi wa Jumuia...