Pages

 

Saturday, June 23, 2012

BREAKING NEWS:NAIBU WAZIRI AFUMANIWA NA MKE WA MTU LEO

0 comments
Kuna habari kutoka Singida zinasema NAIBU WAZIRI.. (JINA LIMEHIFADHIWA) amefumaniwa akiwa na mke wa mtu (mke wa askari mmoja) pale Singida katika Hotel ya Aqua. 
 
.Kwa mujibu wa Blog ya The Choice  amefumaniwa  saa 10 alfajiri. Baada ya kupata tip hiyo, maaskari walikwenda wakazingira hotel hiyo, wakati WAZIRI HUYO akitoka yule askari mwenye mke kumbe alikuwa ameficha sime/panga akamkata Mheshimiwa Naibu Waziri.


Habari zinasema alikuwa yuko njiani kwenda msibani ukweni kwake, Karatu. Hata wakati wa kupiga kura jana jioni hakuwepo bungeni, akiaga kuwa anawahi msibani.
Habari zaidi zitawajia kadri nitakavyozinasa

0 comments:

Post a Comment

 
Said Nuhu © 2012 SAID NUHU BLOGS. BLOG IMETENGENEZWA NA BongoClan blog designer nipigie 0658184797