Pages

 

Sunday, April 15, 2012

REAL MADRID YAFANYA MABADILIKO KWA KUHESHIMU UISLAM

0 comments
Timu ya soka ya Hispania Real Madrid wamefanya mabadiliko kwenye nembo(logo) yao ya sasa kwa kuheshimu matakwa ya kiimani ya mashabiki wao wa kiislam.Miamba hiyo ya Hispania inatarajiwa kuondoa alama ya msalaba ambayo ipo kwenye nembo hiyo kwa karibu karne moja sasa
Timu nyingine ya Hispania ambayo ilifanya zoezi hilo ni miamba wengine wa Hispania Barcelona ambao waliamua kuondoa alama ya msalaba kwenye nembo yao

0 comments:

Post a Comment

 
Said Nuhu © 2012 SAID NUHU BLOGS. BLOG IMETENGENEZWA NA BongoClan blog designer nipigie 0658184797