Pages

 

Friday, April 20, 2012

THIBITISHO KUWA HABARI ZA MIONZI HATARI NI UZUSHI!!!!

0 comments
Picha hii inaonekana kama ya tukio la kutisha juu ya anga la jiji la Moscow, ilipigwa usiku wa tarehe 28 mwezi uliopita na jopo la wanasayansi wanaoishi kwenye kituo cha kimataifa cha angani wakati chombo chao cha kusafiri kikipita umbali wa maili 240 kutoka uso wa dunia.Kipande cha kunasa nishati ya jua(solar array panel)inayotumiwa kuendesha kituo hicho kinaonekana kushoto mwa picha hii....Hapa  upinde wa mwanga,taa za jiji na mwanga wa jua la afajiri vimepamba anga

Jana kulikuwa na mshikemshike dunia nzima wakati binadamu walipopata taarifa za kushtua za kushuka kwa mionzi hatari kutoka anga za mbali(COSMO RAYS).Watu walioathirika na taarifa hizo za uongo ni watumiaji wa mawasiliano ya kompyuta (INTERNET) na simu

Watu walitembeza ujumbe kupitia Internet na simu kutarifu kuwa kuanzi usiku wa manane hadi saa 9.30 usiku watu wote wanashauriwa kuzima simu zao za mkononi na kuzuwe ka mbali nao   kwa kuwa mionzi hatari inayotokea sayari ya Mars itatua kwenye uso wa dunia,,,kwa maana kwamba watakaokaidi ushauri huo watakumbwa na mtatizo yatakayosababishwa na mionzi hiyo 

Uongo huu ni kama marejeo ya ule uliowahi kusambazwa miaka michachae iliyopita na kuzusha tafrani duniani.Ujumbe  kwenye mtandao mmoja wa kijamii ulikuwa:


"2nite 1230 a.m to 330a.m Cosmo rays entering earth frm Mars, So switch off ur mobile at nite,don't keep ur cell with u & put it away while ur slping bcos thy are quite dangerous rays.NASA BBC NEWS."
Lakini taarifa za uhakika zinakanusha kuwa si NASA wala BBC waliowahi kutoa tahadhari kama hiyo.Uchunguzi wangu unaonesha kuwa habari hizi zilianza kidogo kidogo wiki tatu zilizopita katika nchi nyingi za Asia.Mtu mmoja aliandika katika internet kukanusha habari hizo:

 

"I searched ON NASA web page and on latest space and science news, the Cosmo rays is indeed a rumor. Someone received this message from a friend on a blackberry messenger and he or she wanted to know if its true,so they posted the news on the internet.I am replying from Windhoek ,Namibia and this rumor seems to be everywhere.I also received the message. I have a theory to present.Here is my hypothesis:Someone send the Cosmo rays message on the 1st of April to a friend,they didn’t want to make it obvious since 1st April is a fools Day,to make this believable, they make a joke three day after April Fools Day(1st of April 2012). My dad just calls me and orders i switch off my phone this night (April 3). No reason given. I then stumble on this cosmic rays thing on a friend’s FB page and deside to google, not out of doubt but for more information. Now i know better….. Information is key!"
Mtu mwingine kutoka Japan aliandika:
" WHY THE HELL ARE THEY SPREADING THIS STUPID RUMOR????
Mars doesn’t produce cosmic rays.
  THIS IS JUST A RUMOR"


Na mwingine kutoka hapa nchini aliyejitambulisha kwa jina la Hija aliandika:

 
.."I JUST RECEIVED SMS HERE IN TANZANIA WITH THE SAME CONTENT, BUT I WENT ALL OVER THE WEB – NOTHING SEEMS TO SUPPORT THIS STUPID RUMOR.
P/S STOP IT !"

Na huyu nae alichangia kwa kusema:


"AHAHAHA…BELATED APRIL FOOL’S DAY!!!!!!!!!!!!!!! LOL!!!"









 

0 comments:

Post a Comment

 
Said Nuhu © 2012 SAID NUHU BLOGS. BLOG IMETENGENEZWA NA BongoClan blog designer nipigie 0658184797