Pages

 

Wednesday, May 2, 2012

BREAKING NEWS...BASI LA NBS LAPATA AJALI MUDA SI MREFU ULIOPITA:waliosalimika ni wanne tu

0 comments
Basi la abiria la kampuni ya NBS linalotoka Tabora kwenda Arusha limepata ajali mchana huu na kusababisha vifo.Habari zilizonifikia zinasema kuwa chanzo cha ajali ni kupasuika kwa mpira wa tairi la mbele na kwamba inasemekana ni watu wanne tu ndio waliosalimika,Nitaendelea kuywaletea habari zaidi za tukio hili kadri ninavyoweza

0 comments:

Post a Comment

 
Said Nuhu © 2012 SAID NUHU BLOGS. BLOG IMETENGENEZWA NA BongoClan blog designer nipigie 0658184797