Pages

 

Wednesday, May 2, 2012

PICHA ZAIDI ZA AJALI YA BASI LA NBS

1 comments
Hivi ndivyo hali ilvyokuwa baada ya ajali mbaya ya basi la abiria la kampuni ya usafirishaji ya NBS iliyotokea leo mapema kwenye milango ya saa nne.Habari zinaeleza kuwa dereva basi hilo ni miongoni mwa watu waliopoteza maisha na kwamba mwili wake bado ulikuwa umebanwa na mabati ya mabaki ya basi hilo na hivyo kushindikana kuutoa hadi vifaa maalum vitakapofika eneo la tukio.maiti sita tayari zimeshafikishwa hospitali ingawa zoezi la kutoa miili bado linaendelea.Walioshuhudia wanasema kuwa basi hilo lilipasuka mpira wa tairi moja la mbele likiwa kwenye mwendo wa kasi nahivyo kulifanya liache njia na kwenda kuparamia mti kabla halijajiviringisha..Taarifa hizi zitaendelea kadri zinavyofika

1 comments:

nunu said...

Namshukuru Mungu kwa uzima mpk leo hii

Post a Comment

 
Said Nuhu © 2012 SAID NUHU BLOGS. BLOG IMETENGENEZWA NA BongoClan blog designer nipigie 0658184797