Pages

 

Friday, May 4, 2012

NANI KASEMA KAMANDA KOVA LEGELEGE?MCHEKI AKIPITA JUU YA MOTO BILA VIATU MAZOEZINI JANA

0 comments
Hii ilikuwa jana kwenye maeneo ya Bwalo la Polisi Oyster bay. Zoezi lilifanyika baada ya makamanda kupata mafunzo ya kujenga ujasiri na kujiamini katika utendaji wa kila siku.

0 comments:

Post a Comment

 
Said Nuhu © 2012 SAID NUHU BLOGS. BLOG IMETENGENEZWA NA BongoClan blog designer nipigie 0658184797